Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Usiue.+

  • Hesabu 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na majiji hayo yatatumika kwenu yakiwa makimbilio ili kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu,+ kusudi muuaji asife mpaka asimame mbele ya kusanyiko kwa ajili ya hukumu.+

  • Hesabu 35:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Kila mwenye kupiga nafsi na kuiua anapaswa kuuawa akiwa muuaji wa kukusudia+ kwa kinywa cha mashahidi,+ na shahidi mmoja hawezi kutoa ushuhuda juu ya nafsi ili afe.

  • Kumbukumbu la Torati 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kama sivyo mlipiza-kisasi+ cha damu, kwa sababu moyo wake una moto, anaweza kumfuatilia muuaji, amfikie, kwa kuwa njia ni ndefu; naye anaweza kuipiga nafsi yake na kuiua, ingawa hakuna hukumu ya kifo+ kwa ajili yake, kwa sababu hakuwa akimchukia hapo kwanza.

  • 2 Samweli 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 si zaidi sana wakati watu waovu+ wamemuua mtu mwadilifu nyumbani mwake mwenyewe katika kitanda chake? Na je, sasa nisiitake damu yake kutoka mikononi mwenu,+ na je, nisiwaondoe ninyi kutoka duniani?”+

  • Mathayo 24:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu+ itakapoonekana mbinguni, ndipo makabila yote ya dunia yatakapojipiga-piga yenyewe kwa kuomboleza,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki