15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+
14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+