-
2 Wafalme 16:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Na Mfalme Ahazi akatoa amri, naam, kwa Uriya+ kuhani, akisema: “Fukiza toleo la kuteketezwa la asubuhi+ juu ya ile madhabahu kubwa, pia toleo la nafaka la jioni+ na toleo la kuteketezwa la mfalme+ na toleo lake la nafaka na toleo la kuteketezwa la watu wote wa nchi na toleo lao la nafaka na matoleo yao ya kinywaji; na damu yote ya toleo la kuteketezwa na damu yote ya dhabihu unyunyize juu yake. Nayo ile madhabahu ya shaba nitaifikiria.”
-