11 Kwa hiyo Yosefu akampa baba yake na ndugu zake makao, naye akawapa mali katika nchi ya Misri, katika sehemu bora kabisa ya nchi hiyo, katika nchi ya Ramesesi,+ kama vile tu Farao alivyokuwa ameamuru.
11 Basi wakaweka juu yao wakuu wa kazi ya kulazimishwa kusudi wawakandamize katika kazi yao ya kubeba mizigo;+ nao wakajenga majiji ili yawe maghala kwa ajili ya Farao, yaani, Pithomu na Raamsesi.+