Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+

  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+

  • Mwanzo 46:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaendelea kusema: “Mimi ndiye Mungu wa kweli,+ Mungu wa baba yako.+ Usiogope kwenda Misri, kwa maana nitakufanya uwe taifa kubwa huko.+

  • Kutoka 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wana wa Israeli wakazaa na kuanza kujaa; nao wakazidi kuongezeka na kuwa wenye nguvu zaidi kwa kiwango kisicho cha kawaida, hivi kwamba wakaijaza nchi.+

  • Kutoka 38:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+

  • Hesabu 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hao ndio watu walioandikishwa wa wana wa Israeli kulingana na nyumba ya baba zao; wote walioandikishwa wa kambi hizo kwa majeshi yao walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Musa akasema: “Watu nilio katikati yao ni wanaume mia sita elfu+ wanaotembea kwa miguu, hata hivyo wewe—wewe umesema, ‘Nitawapa nyama, nao hakika watakula kwa mwezi mzima’!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki