Kumbukumbu la Torati 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama vile tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyoelea angani juu ya watoto wake,+Anavyotandaza mabawa yake, na kuwachukua,Anavyowachukua kwenye manyoya yake,+ Isaya 63:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+
11 Kama vile tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyoelea angani juu ya watoto wake,+Anavyotandaza mabawa yake, na kuwachukua,Anavyowachukua kwenye manyoya yake,+ Isaya 63:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+
9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+