Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+ Mathayo 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake kati yako na yeye peke yake.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+ Wagalatia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+ 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+ Tito 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+
15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake kati yako na yeye peke yake.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+
11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+
20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+
13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,