Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 141:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+

      Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+

      Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+

      Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+

  • Methali 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+

  • Mathayo 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake kati yako na yeye peke yake.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+

  • Wagalatia 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+

  • 1 Timotheo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+

  • Tito 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki