Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea,+ na kusema, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo nitawapa ninyi!’ ndipo mkaasi agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkumwamini+ wala hamkuisikiliza sauti yake.+

  • Zaburi 78:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Hawakuukumbuka mkono wake,+

      Ile siku ambayo aliwakomboa kutoka kwa mpinzani,+

  • Zaburi 106:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao wakaichukia nchi yenye kutamanika;+

      Hawakuwa na imani katika neno lake.+

  • Yohana 12:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini ijapokuwa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wanamwamini,

  • Waebrania 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki