Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika watano kati yenu watawafukuza mia, na mia kati yenu watawafukuza elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.+

  • Waamuzi 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na baada yake kukawa na Shamgari+ mwana wa Anathi, naye akawapiga Wafilisti,+ wanaume mia sita, kwa mchokoo wa ng’ombe; naye pia akawaokoa Israeli.+

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • 2 Samweli 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki