10 Na wana wa Israeli wakaendelea kupiga kambi katika Gilgali, nao wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.
6 Kisha wakaenda kwa Yoshua kambini katika Gilgali+ na kumwambia yeye na watu wa Israeli hivi: “Sisi tumetoka nchi ya mbali. Basi sasa fanyeni agano+ pamoja nasi.”