Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”