18Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+
12 Hata hivyo, wakapata kutoka kwa wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wasichana mia nne, mabikira,+ ambao hawakuwa wamepata kulala na mwanamume. Basi wakawaleta kambini katika Shilo,+ ambalo liko katika nchi ya Kanaani.