Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.

  • Waamuzi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+

  • Waamuzi 9:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Na Abimeleki akapigana na jiji hilo siku hiyo nzima, akaliteka jiji; akawaua watu waliokuwa ndani yake,+ kisha akalibomoa jiji+ na kulitia chumvi.+

  • 1 Wafalme 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Rehoboamu+ akaenda Shekemu, kwa maana Israeli wote walikuja kumfanya kuwa mfalme huko Shekemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki