Waamuzi 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+ Waamuzi 9:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wakati wenye mashamba wote wa Shekemu waliposikia habari hizo, wakaenda haraka katika ngome ya nyumba ya El-berithi.+
33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+
46 Wakati wenye mashamba wote wa Shekemu waliposikia habari hizo, wakaenda haraka katika ngome ya nyumba ya El-berithi.+