10 Tazama, leo macho yako yameona jinsi Yehova alivyokutia leo mkononi mwangu ndani ya pango; na mtu fulani alisema nikuue,+ lakini nikakusikitikia, nikasema, ‘Sitanyoosha mkono wangu juu ya bwana wangu, kwa maana yeye ni mtiwa-mafuta+ wa Yehova.’
11 Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba ninyooshe mkono wangu+ juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Kwa hiyo, tafadhali sasa, chukua mkuki ulio karibu na kichwa chake na lile gudulia la maji, nasi twende zetu.”