22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+
26 Na Sulemani akaendelea kukusanya magari na farasi wengi zaidi; naye akawa na magari elfu moja na mia nne na farasi+ kumi na mbili elfu, naye akaviweka vitu hivyo katika majiji ya magari na karibu na mfalme katika Yerusalemu.+