Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote waliokuwa pamoja naye: “Rarueni mavazi yenu,+ na mvae nguo za magunia,+ mlie mbele ya Abneri.” Hata mfalme Daudi akatembea nyuma ya kile kitanda.

  • 2 Samweli 13:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo mfalme akasimama, akazirarua nguo zake,+ akalala chini,+ na watumishi wake wote wakasimama kando, mavazi yao yakiwa yameraruliwa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Mungu uliposikia maneno yake kuhusu mahali hapa na wakaaji wake, nawe ukajinyenyekeza mbele zangu,+ ukayararua+ mavazi yako na kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,+ asema Yehova.

  • Matendo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata hivyo, mitume Barnaba na Paulo waliposikia jambo hilo, wakayararua mavazi yao ya nje na kuruka ndani ya umati, wakipaaza sauti

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki