1 Wafalme 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu yeyote wa Yeroboamu atakayekufa jijini, mbwa watamla;+ na yule atakayekufa shambani, ndege wa angani watamla,+ kwa sababu Yehova mwenyewe amesema hayo.”’ Ayubu 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu mwenyewe ataweka akiba ya madhara ya mtu kwa ajili ya wana wa mtu huyo;+Atampa thawabu ili ajue hayo.+
11 Mtu yeyote wa Yeroboamu atakayekufa jijini, mbwa watamla;+ na yule atakayekufa shambani, ndege wa angani watamla,+ kwa sababu Yehova mwenyewe amesema hayo.”’
19 Mungu mwenyewe ataweka akiba ya madhara ya mtu kwa ajili ya wana wa mtu huyo;+Atampa thawabu ili ajue hayo.+