12 ile ramani ya ujenzi ya kila kitu aliyoipata kwa kuongozwa na roho+ kwa ajili ya nyua+ za nyumba ya Yehova na ya vyumba vyote vya kulia chakula+ pande zote, ya hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;+
19 Na Sulemani mwanangu umpe moyo kamili+ ili ashike amri+ zako, shuhuda+ zako na masharti+ yako, afanye kila jambo, na kulijenga jumba+ hili la kifalme ambalo nimelifanyia matayarisho.”+