Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba, ya kuoshea,+ nawe utaiweka kati ya hema la mkutano na ile madhabahu na kutia maji ndani yake.+

  • Kutoka 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+

  • 2 Wafalme 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+

  • Yeremia 52:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na zile nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba+ iliyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakazivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake yote kuipeleka Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki