8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+
13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+
17 Na zile nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba+ iliyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakazivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake yote kuipeleka Babiloni.+