Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

  • Ayubu 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Huyu alipokuwa bado anasema, mwingine akaja na kusema: “Wakaldayo+ walifanyiza vikosi vitatu, wakawakimbilia ngamia na kuwachukua, nao wakawapiga na kuwaua watumishi kwa makali ya upanga; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”

  • Habakuki 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki