-
Isaya 18:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 “Katika wakati huo zawadi italetwa kwa Yehova wa majeshi,+ kutoka kwa watu warefu na walio laini,+ kutoka kwa watu wenye kuogopesha kila mahali, taifa lenye nguvu zinazodumu na lenye kukanyaga-kanyaga, ambalo mito imeifagilia mbali nchi yake, kwenye mahali pa jina la Yehova wa majeshi, Mlima Sayuni.”+
-