Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 basi na usikilize ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ nawe ufanye kulingana na yote ambayo mgeni huyo anakuomba;+ kusudi watu wote wa dunia wapate kulijua jina lako+ nao wakuogope+ kama vile watu wako Israeli wanavyokuogopa, na ili wajue kwamba jina lako limeitwa juu ya nyumba hii ambayo nimeijenga.+

  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+

      Amina na Amina.

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, ninyi msali hivi:+

      “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki