14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe.
5Mwishowe kazi yote ambayo Sulemani alipaswa kufanya kwa ajili ya nyumba ya Yehova ikamalizika,+ na Sulemani akaanza kuingiza vitu ambavyo Daudi baba yake alivifanya kuwa vitakatifu;+ naye akaweka fedha na dhahabu na vyombo vyote katika hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+