Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye akaondoka huko kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli.+ Akapiga hema lake, Betheli likiwa upande wa magharibi, na Ai+ upande wa mashariki. Ndipo akamjengea Yehova madhabahu huko+ naye akaanza kuliitia jina la Yehova.+

  • Zaburi 55:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mimi nami nitamlilia Mungu;+

      Na Yehova mwenyewe ataniokoa.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

  • Yeremia 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki