Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Manase+ hakumiliki Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando na Taanaki+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Ibleamu+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Megido+ na miji yake ya kandokando, bali Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+

  • 1 Wafalme 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa hii ndiyo hesabu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ ambao Mfalme Sulemani aliandikisha ili kujenga nyumba ya Yehova+ na nyumba yake mwenyewe na Kilima+ na ukuta+ wa Yerusalemu na Hasori+ na Megido+ na Gezeri.+

  • 2 Wafalme 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.

  • Zekaria 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Katika siku hiyo maombolezo katika Yerusalemu yatakuwa makubwa, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika nchi tambarare ya bonde la Megido.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki