47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+