Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye alikuwa na mwana ambaye jina lake lilikuwa Sauli,+ kijana na mwenye sura nzuri, wala hakuwako mwanamume yeyote wa wana wa Israeli aliyekuwa na sura nzuri kuliko yeye; kutoka kwenye mabega yake kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wote.+

  • 1 Samweli 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba wakati watu wote waliokuwa wakimjua hapo zamani walipomwona, tazama! alikuwa akitoa unabii pamoja na manabii. Basi watu wakaambiana: “Ni nini hili lililompata mwana wa Kishi? Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+

  • 1 Samweli 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi watu wote wakaenda Gilgali, kisha wakamfanya Sauli kuwa mfalme mbele za Yehova katika Gilgali. Ndipo wakatoa huko dhabihu za ushirika mbele za Yehova,+ na Sauli na watu wote wa Israeli wakaendelea kushangilia huko kwa hali ya juu sana.+

  • 1 Samweli 14:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+

  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki