2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+ 2 Samweli 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+
12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+