20 Basi akasema: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Naye akaamka kutoka katika usingizi na kusema: “Nitatoka nje kama safari zile nyingine+ na kujitikisa niwe huru.” Naye hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.+
13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.