Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi akasema: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Naye akaamka kutoka katika usingizi na kusema: “Nitatoka nje kama safari zile nyingine+ na kujitikisa niwe huru.” Naye hakujua kwamba Yehova alikuwa amemwacha.+

  • 1 Wakorintho 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki