Mwanzo 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baada ya mambo hayo Mungu wa kweli akamjaribu Abrahamu.+ Kwa hiyo akamwambia: “Abrahamu!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+ Kumbukumbu la Torati 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+ Zaburi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+
22 Baada ya mambo hayo Mungu wa kweli akamjaribu Abrahamu.+ Kwa hiyo akamwambia: “Abrahamu!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+
16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+
9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+