Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya kupitia sehemu hizo na kuwatia moyo wale walio huko kwa maneno mengi,+ akaingia Ugiriki.

  • Waebrania 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe,+ kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.+

  • 1 Petro 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki