-
2 Mambo ya Nyakati 30:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa hiyo wakimbiaji+ walio na zile barua kutoka katika mkono wa mfalme na wa wakuu+ wake wakaenda katika Israeli yote na Yuda, kulingana na amri ya mfalme, na kusema: “Ninyi wana wa Israeli, rudini+ kwa Yehova Mungu+ wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili yeye arudi kwa wale walioponyoka+ ambao wamebaki kati yenu kutoka katika mkono wa wafalme wa Ashuru.+
-