Zaburi 74:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+ Maombolezo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Taji la kichwa chetu limeanguka.+ Ole wetu, sasa, kwa sababu tumefanya dhambi!+ Ezekieli 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+
26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+