Zaburi 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Uadilifu wako sikuufunika moyoni mwangu.+Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako.+Sikuficha fadhili zako zenye upendo na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+ Zaburi 71:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+ Isaya 52:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima miguu+ ya yeye anayeleta habari njema,+ yeye anayetangaza amani,+ yeye anayeleta habari njema za jambo bora,+ yeye anayetangaza wokovu,+ yeye anayeuambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa mfalme!”+ Matendo 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Wanaume, akina ndugu, ninyi wana wa ukoo wa Abrahamu na wale wengine kati yenu ambao mnamwogopa Mungu, neno la wokovu huu limeletwa kwetu sisi.+
10 Uadilifu wako sikuufunika moyoni mwangu.+Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako.+Sikuficha fadhili zako zenye upendo na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+
15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+
7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima miguu+ ya yeye anayeleta habari njema,+ yeye anayetangaza amani,+ yeye anayeleta habari njema za jambo bora,+ yeye anayetangaza wokovu,+ yeye anayeuambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa mfalme!”+
26 “Wanaume, akina ndugu, ninyi wana wa ukoo wa Abrahamu na wale wengine kati yenu ambao mnamwogopa Mungu, neno la wokovu huu limeletwa kwetu sisi.+