Zaburi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+ Ezekieli 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitaufanya ulimi wako ushikamane na kaakaa la kinywa chako,+ nawe hakika utakuwa bubu,+ na kwao wewe hutakuwa mtu mwenye kutoa karipio,+ kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+
26 Nami nitaufanya ulimi wako ushikamane na kaakaa la kinywa chako,+ nawe hakika utakuwa bubu,+ na kwao wewe hutakuwa mtu mwenye kutoa karipio,+ kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+