Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.

  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Isaya 54:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki