29 Basi Musa akamwambia: “Mara tu nitakapoondoka jijini nitamnyooshea Yehova mikono yangu.+ Mingurumo itakoma nayo mvua ya mawe haitaendelea tena, ili upate kujua kwamba dunia ni ya Yehova.+
5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+