Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha mfalme akarudi kutoka katika bustani ya jumba la mfalme na kuingia katika nyumba ya karamu ya divai;+ naye Hamani alikuwa ameangukia kitanda+ alipokuwapo Esta. Basi mfalme akasema: “Je, malkia alalwe kinguvu vilevile, nami nimo nyumbani?” Neno hilo lilitoka kinywani mwa mfalme,+ nao wakaufunika uso wa Hamani.

  • Methali 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ghadhabu ya mfalme ni kama wajumbe wa kifo,+ lakini mwenye hekima huigeuza.+

  • Methali 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+

  • Danieli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo mfalme akakasirika na kuwa na ghadhabu sana,+ naye akaagiza watu wote wenye hekima wa Babiloni waangamizwe.+

  • Mathayo 25:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki