Methali 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Njia kuu ya wanyoofu ni kuepuka ubaya.+ Anayeilinda njia yake anaitunza nafsi yake.+ Luka 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Akamwambia: “Umejibu kwa usahihi; ‘endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.’ ”+