Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe. Kwa hiyo mtaondolea mbali kilicho kibaya kutoka kati yenu, na Israeli wote watasikia na kuogopa kwelikweli.+

  • 2 Samweli 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Tafadhali, acha nichague watu kumi na mbili elfu, niondoke na kumfuatilia Daudi usiku wa leo.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+

  • Methali 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,+ wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+

  • Waroma 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+

  • 2 Timotheo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki