Methali 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hangaiko katika moyo wa mtu huufanya uiname,+ lakini neno jema huufanya ushangilie.+ Methali 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Moyo wenye shangwe huchangamsha sura,+ lakini kwa sababu ya maumivu ya moyo roho hupata pigo.+