Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+

      Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+

  • Yeremia 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+

  • Matendo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sasa kwa nini unakawia? Simama, ubatizwe+ na uoshe+ dhambi zako kwa kuliitia jina lake.’+

  • Ufunuo 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi nikamwambia mara moja: “Bwana wangu, wewe ndiye unayejua.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale wanaotoka katika ile dhiki kuu,+ nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe+ katika damu+ ya Mwana-Kondoo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki