14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+
14 Basi nikamwambia mara moja: “Bwana wangu, wewe ndiye unayejua.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale wanaotoka katika ile dhiki kuu,+ nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe+ katika damu+ ya Mwana-Kondoo.