Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati Siria ya Damasko walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba,+ Daudi akapiga watu 22,000 kati ya Wasiria.

  • Yeremia 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi+ wameona aibu, kwa maana wamesikia habari mbaya. Wamebomoka.+ Katika bahari kuna hangaiko; haiwezi kukaa bila machafuko.+

  • Amosi 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki