23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi+ wameona aibu, kwa maana wamesikia habari mbaya. Wamebomoka.+ Katika bahari kuna hangaiko; haiwezi kukaa bila machafuko.+
5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’