9 Ndipo mfalme wa Ashuru akamsikiliza na mfalme wa Ashuru akaenda Damasko+ na kuliteka,+ akapeleka watu wake uhamishoni kule Kiri,+ naye akamuua Rezini.+
4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+
“Neno la Yehova linashindana na nchi ya Hadraki, nalo linapumzika Damasko;+ kwa maana Yehova ameweka jicho juu ya mtu wa udongo+ na juu ya makabila yote ya Israeli.