Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakiwaambia ninyi: “Toeni maombi kwa wenye kuwasiliana na pepo+ au kwa wale wenye roho ya kubashiri wanaonong’oneza+ na kusema maneno kwa sauti za chini,” je, kundi lolote la watu halipaswi kutoa maombi kwa Mungu wake?+ Je, maombi yatolewe kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?+

  • Isaya 44:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninazitangua ishara za wenye kuongea maneno matupu, na ni mimi anayewafanya waaguzi watende kiwazimu;+ Yule anayewageuza watu wenye hekima warudi nyuma, na Yule anayeugeuza ujuzi wao kuwa upumbavu;+

  • Matendo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda pale mahali pa sala, kijakazi fulani mwenye roho,+ roho mwovu wa uaguzi,+ akakutana nasi. Yeye alikuwa akiwapatia mabwana zake faida+ nyingi kwa kufanya ufundi wa kubashiri.

  • Ufunuo 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena kamwe ndani yako, na hakuna sauti ya bwana-arusi na bibi-arusi itakayosikiwa tena kamwe ndani yako;+ kwa sababu wanabiashara+ wako wanaosafiri walikuwa ndio watu wenye daraja la juu+ wa dunia, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na pepo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki