Isaya 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na juu ya mierezi yote ya Lebanoni+ ambayo ni mirefu na iliyoinuliwa juu na juu ya miti yote mikubwa sana ya Bashani;+ Ezekieli 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+
13 na juu ya mierezi yote ya Lebanoni+ ambayo ni mirefu na iliyoinuliwa juu na juu ya miti yote mikubwa sana ya Bashani;+
3 Nawe utasema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tai mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa,+ na manyoya marefu, aliyejaa manyoya, yaliyokuwa na rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukichukua kilele+ cha mwerezi.+