5 Nayo nchi imechafuliwa chini ya wakaaji wake,+ kwa maana wamezivunja sheria,+ wamelibadili sharti,+ wamevunja agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+
7 “Nami mwishowe nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda, ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mkaingia na kuitia unajisi nchi yangu; nanyi mkaufanya urithi wangu kuwa chukizo.+