Yeremia 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kama ukitaka kurudi, Ee Israeli,” asema Yehova, “unaweza kurudi kwangu mimi.+ Nawe ukiondolea mbali machukizo yako kwa ajili yangu,+ basi hutakwenda ukiwa kama mkimbizi. Zekaria 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “ ‘Rudini kwangu,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitarudi kwenu,’+ Yehova wa majeshi amesema.” ’
4 “Kama ukitaka kurudi, Ee Israeli,” asema Yehova, “unaweza kurudi kwangu mimi.+ Nawe ukiondolea mbali machukizo yako kwa ajili yangu,+ basi hutakwenda ukiwa kama mkimbizi.
3 “Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “ ‘Rudini kwangu,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitarudi kwenu,’+ Yehova wa majeshi amesema.” ’