4Sikieni neno la Yehova, enyi wana wa Israeli, kwa maana Yehova ana kesi na wakaaji wa nchi,+ kwa maana hakuna kweli+ wala fadhili zenye upendo wala kumjua Mungu katika nchi.+
2 Sikieni, enyi milima, sikieni kesi ya Yehova, pia ninyi vyombo vya kudumu, ninyi misingi ya dunia;+ kwa maana Yehova ana kesi na watu wake, naye atahojiana na Israeli:+