Yeremia 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Hanania+ akasema mbele ya macho ya watu wote: “Yehova amesema hivi,+ ‘Hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babiloni katika muda wa miaka miwili kamili ili itoke shingoni mwa mataifa yote.’”+ Na Yeremia nabii akaenda zake.+
11 Na Hanania+ akasema mbele ya macho ya watu wote: “Yehova amesema hivi,+ ‘Hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babiloni katika muda wa miaka miwili kamili ili itoke shingoni mwa mataifa yote.’”+ Na Yeremia nabii akaenda zake.+